Biblia Habari Njema

2 Wafalme 18:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Eliakimu mwana wa Hilkia, Shebna na Yoa wakamwambia huyo jemadari mkuu, “Tafadhali, sema nasi kwa lugha ya Kiaramu, maana tunaielewa; usiseme nasi kwa lugha ya Kiebrania; kwa kuwa watu walioko ukutani wanasikiliza.”

2 Wafalme 18

2 Wafalme 18:19-33