Biblia Habari Njema

Yohane 20:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, “Amani kwenu!”

Yohane 20

Yohane 20:16-28