Biblia Habari Njema

Yohane 20:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana.” Thoma akawaambia, “Nisipoona mikononi mwake alama za misumari na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.”

Yohane 20

Yohane 20:19-30