Biblia Habari Njema

Yohane 10:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna mtu anayeninyanganya uhai wangu; mimi nautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na uwezo wa kuuchukua tena. Hivi ndivyo Baba alivyoniamuru nifanye.”

Yohane 10

Yohane 10:17-20