Biblia Habari Njema

Matendo 25:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, ikiwa nimepatikana na kosa linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa adhabu hiyo. Lakini kama hakuna ukweli katika mashtaka waliyotoa watu hawa, hakuna awezaye kunikabidhi kwao. Nakata rufani kwa Kaisari!”

Matendo 25

Matendo 25:1-18