Biblia Habari Njema

Matendo 25:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Paulo akajibu, “Nasimama mbele ya mahakama ya Kaisari, na papa hapa ndipo ninapopaswa kupewa hukumu. Kama unavyojua vizuri, sikuwatendea Wayahudi ubaya wowote.

Matendo 25

Matendo 25:5-11