Biblia Habari Njema

2 Wafalme 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitenda dhambi mbele ya Mwenyezi-Mungu kama vile mfalme Yeroboamu mwana wa Nebati aliyewakosesha watu wa Israeli wakatenda dhambi. Yehoahazi hakuacha matendo hayo mabaya.

2 Wafalme 13

2 Wafalme 13:1-12