Biblia Habari Njema

2 Wafalme 13:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa ishirini na tatu wa enzi ya mfalme Yoashi wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala Israeli, akaendelea kutawala huko Samaria muda wa miaka kumi na saba.

2 Wafalme 13

2 Wafalme 13:1-8