Biblia Habari Njema

2 Samueli 24:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Arauna akamwambia Daudi, “Bwana wangu mfalme, chukua chochote unachoona kinafaa na utolee sadaka. Mimi nawatoa fahali hawa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na vifaa hivi vya kupuria na nira za ng'ombe kuwa kuni.

2 Samueli 24

2 Samueli 24:19-25