Biblia Habari Njema

2 Samueli 24:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Arauna akamwuliza mfalme, “Kwa nini bwana wangu mfalme amenijia mimi mtumishi wake?” Daudi akamjibu, “Nimekuja kununua uwanja wako wa kupuria nafaka ili nimjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu ili tauni iliyowakumba watu ikome.”

2 Samueli 24

2 Samueli 24:13-25