Biblia Habari Njema

1 Wafalme 22:52 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahazia alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; aliuiga mwenendo wa baba yake na mwenendo wa Yezebeli, mama yake, na wa Yeroboamu, mwana wa Nebati ambaye aliwafanya watu wa Israeli watende dhambi.

1 Wafalme 22

1 Wafalme 22:51-53