Biblia Habari Njema

1 Wafalme 22:51 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa kumi na saba wa utawala wa Yehoshafati, mfalme wa Yuda, Ahazia, mwana wa Ahabu, alianza kutawala Israeli. Alitawala kwa muda wa miaka miwili, kutoka Samaria.

1 Wafalme 22

1 Wafalme 22:43-53