Biblia Habari Njema

1 Wafalme 18:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akapanga kuni vizuri, akamkata vipandevipande yule fahali, akaviweka juu ya kuni. Kisha akawaambia watu, “Jazeni mitungi minne maji mkaimwagie tambiko hii ya kuteketezwa pamoja na kuni.” Wakafanya hivyo.

1 Wafalme 18

1 Wafalme 18:25-35