Biblia Habari Njema

1 Wafalme 18:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa mawe hayo, Elia alimjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu, akachimba na mtaro kuizunguka madhabahu hiyo; mtaro uwezao kuchukua kama debe moja na nusu la nafaka.

1 Wafalme 18

1 Wafalme 18:31-42