Biblia Habari Njema

1 Wafalme 14:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Hatimaye, Rehoboamu alifariki na kuzikwa kwenye makaburi ya wazee wake, katika mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama kutoka Amoni, na Abiyamu mwanawe akatawala mahali pake.

1 Wafalme 14

1 Wafalme 14:30-31