Biblia Habari Njema

1 Wafalme 14:30-31 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Daima kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.

31. Hatimaye, Rehoboamu alifariki na kuzikwa kwenye makaburi ya wazee wake, katika mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama kutoka Amoni, na Abiyamu mwanawe akatawala mahali pake.