57. Basi, Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza miaka hamsini bado, nawe umemwona Abrahamu?”
58. Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi niko.”
59. Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.