Biblia Habari Njema

Yohane 7:51-53 Biblia Habari Njema (BHN)

51. “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

52. Nao wakamjibu, “Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!”[

53. Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda nyumbani;