Biblia Habari Njema

Yohane 7:49-51 Biblia Habari Njema (BHN)

49. Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

50. Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,

51. “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”