Biblia Habari Njema

Yohane 7:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, “Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki?

Yohane 7

Yohane 7:34-38