29. “Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?”
30. Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.
31. Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”
32. Lakini Yesu akawaambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua nyinyi.”
33. Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”