Biblia Habari Njema

Yohane 3:5-7 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Yesu akamjibu, “Kweli nakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.

6. Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.

7. Usistaajabu kwamba nimekuambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.