3. Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
4. Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
5. Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
6. Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,