Biblia Habari Njema

Yohane 12:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Umati wa watu waliokuwa wamesimama hapo walisikia sauti hiyo, na baadhi yao walisema, “Ni ngurumo.” Lakini wengine wakasema, “Malaika ameongea naye!”

Yohane 12

Yohane 12:24-33