Biblia Habari Njema

Yohane 10:39-42 Biblia Habari Njema (BHN)

39. Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.

40. Yesu akaenda tena ngambo ya mto Yordani, mahali Yohane alipokuwa akibatiza, akakaa huko.

41. Watu wengi walimwendea wakasema, “Yohane hakufanya ishara yoyote. Lakini yale yote Yohane aliyosema juu ya mtu huyu ni kweli kabisa.”

42. Watu wengi mahali hapo wakamwamini.