Biblia Habari Njema

Yohane 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwamwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia, kisha mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.

Yohane 10

Yohane 10:4-14