Biblia Habari Njema

Yohane 10:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Kweli nawaambieni, yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia mlangoni, bali hupenya na kuingia kwa njia nyingine, huyo ni mwizi na mnyanganyi.

2. Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.