Biblia Habari Njema

Mhubiri 2:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, wakati mwingine mtu ambaye amefanya kazi kwa kutumia hekima, akili na maarifa yake, humwachia mtu mwingine afurahie matunda ya kazi ambayo hakuitolea jasho. Pia hilo nalo ni bure kabisa; ni jambo baya sana.

Mhubiri 2

Mhubiri 2:12-26