Biblia Habari Njema

Matendo 25:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na washtaki wake ana kwa ana na kupewa fursa ya kujitetea kuhusu hayo mashtaka.

Matendo 25

Matendo 25:6-25