Biblia Habari Njema

Matendo 23:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kelele ziliongezeka na baadhi ya waalimu wa sheria wa kikundi cha Mafarisayo walisimama na kutoa malalamiko yao kwa nguvu: “Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye.”

Matendo 23

Matendo 23:1-16