Biblia Habari Njema

Matendo 23:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, “Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukuambia.”

Matendo 23

Matendo 23:12-20