Biblia Habari Njema

Matendo 21:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema, “Roho Mtakatifu asema hivi: ‘Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye mkanda huu na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa.’”

Matendo 21

Matendo 21:4-20