Biblia Habari Njema

Matendo 19:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu.”

Matendo 19

Matendo 19:1-14