Biblia Habari Njema

Matendo 18:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipompinga na kuanza kumtukana, aliyakunguta mavazi yake mbele yao akisema, “Mkipotea ni shauri lenu wenyewe; mimi sina lawama yoyote juu ya jambo hilo. Na tangu sasa nitawaendea watu na mataifa mengine.”

Matendo 18

Matendo 18:1-7