Biblia Habari Njema

Matendo 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawa anafanya hivyo kwa siku nyingi hata siku moja Paulo alikasirika, akamgeukia na kumwambia huyo pepo, “Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu!” Mara huyo pepo akamtoka.

Matendo 16

Matendo 16:15-20