Biblia Habari Njema

Matendo 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mkuu wa kile kisiwa, ambaye alikuwa mtu mwelewa sana. Sergio Paulo aliwaita Barnaba na Saulo ili asikie neno la Mungu.

Matendo 13

Matendo 13:1-14