Biblia Habari Njema

Matendo 13:50 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Wayahudi waliwachochea wanawake wa tabaka ya juu wa mataifa mengine ambao walikuwa wacha Mungu, na wanaume maarufu wa mji huo. Wakaanza kuwatesa Paulo na Barnaba, wakawafukuza kutoka katika eneo lao.

Matendo 13

Matendo 13:42-52