Biblia Habari Njema

Matendo 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliposikia hayo, waliacha ubishi, wakamtukuza Mungu wakisema, “Mungu amewapa watu wa mataifa mengine nafasi ya kutubu wapate uhai!”

Matendo 11

Matendo 11:14-23