Biblia Habari Njema

Marko 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakatoka pale kaburini mbio, maana walitetemeka kwa hofu na kushangaa. Hawakumwambia mtu yeyote kitu, kwa sababu waliogopa mno.[

Marko 16

Marko 16:7-10