Biblia Habari Njema

Marko 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwishowe Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.

Marko 16

Marko 16:10-18