Biblia Habari Njema

Luka 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

“Watu hawawashi taa na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni. Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate kuona mwanga.

Luka 8

Luka 8:10-25