Biblia Habari Njema

Luka 5:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wengine wakamwambia, “Wafuasi wa Yohane Mbatizaji hufunga mara kwa mara na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.”

Luka 5

Luka 5:31-39