Biblia Habari Njema

Luka 24:51-53 Biblia Habari Njema (BHN)

51. Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

52. Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

53. Wakakaa muda wote hekaluni wakimsifu Mungu.