Biblia Habari Njema

Luka 24:50-52 Biblia Habari Njema (BHN)

50. Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

51. Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

52. Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa: