Biblia Habari Njema

Luka 24:24-27 Biblia Habari Njema (BHN)

24. Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona.”

25. Kisha Yesu akawaambia, “Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii?

26. Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?”

27. Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote.