Biblia Habari Njema

Luka 23:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Akamfungua kutoka gerezani yule waliyemtaka, ambaye alikuwa ametiwa gerezani kwa kusababisha uasi na mauaji; akamtoa Yesu kwao, wamfanyie walivyotaka.

Luka 23

Luka 23:23-35