Biblia Habari Njema

Luka 20:46 Biblia Habari Njema (BHN)

“Jihadharini na waalimu wa sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.

Luka 20

Luka 20:44-47