Biblia Habari Njema

Luka 2:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.

Luka 2

Luka 2:14-28