Biblia Habari Njema

Luka 18:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo Mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: ‘Ee Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: Walafi, wadanganyifu au wazinzi. Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtozaushuru.

Luka 18

Luka 18:10-13