Biblia Habari Njema

Luka 16:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule tajiri akamwita, akamwambia: ‘Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi kuwa karani tena.’

Luka 16

Luka 16:1-7